Mkesha Mkubwa Uliofanyika Usharika wa Kiluvya Ijumaa ya Tarehe 28 April 2017


Umoja wa vijana wa kiluvya waliandaa tamasha kubwa la mkesha wa kuabudu na kusifu lililofanyika tarehe 28/4/2017 siku ya ijumaa iliyopita ambalo lilivuta viongozi wengi, wakiwamo wachungaji, waimbaji, kwaya mbalimbali pamoja na viongozi wa umoja wa vijana ngazi ya Jimbo na dayosisi
Tamasha hili  liliweza kuhudhuriwa na watu zaidi ya 900 siku hiyo

Zifuatazo ni taarifa kwa lugha ya za picha za matukio yaliyotokea siku hiyo ya tarehe 28 April 2017

Mchungaji akifanya Ufunguzi Rasmi  wa Tamasha kwa  kutoa Neno na Sala Usharikani 

Vijana pamoja na wageni walioshiriki katika tamasha Mkesha wa Kuabudu na Kusifu

Wageni Mbalimbali na Vijana kwenye Tamasha la Mkesha wa Kuabudu na Kusifu katika Usharika wa Kiluvya
Wageni Mbalimbali wakiwa Nje Kwenye Mkesha Wa Kuabudu Na Kusifu KKKT Kiluvya

Dr Ipyana akiimba Nyimbo za Kusifu na Kuabudu..."SITAKUACHA"

Dr Ipyana na Rafiki yake pia wakiwa stegini wakibwaga mioyo yao kwa Mungu
Essence of Worship pia walikuwepo katika kuabudu na kusifu
R.I.O.T squad wakionyesha jinsi ya kuabudu kwa kucheza
Washarika wakiabudu na Kusifu

Washarika na Wageni Mbalimbali wakicheza na kusherehekea Tamasha

Washarika na Wageni mbalimbali wakisherehea kwa Kuabudu na Kusifu

Dr Ipyana na rafiki ake 



Dr Ipyana akiimba kwa hisi


Washarika na Wageni mbalimbali wakicheza na kuimba kwa hisia 

Add caption


0 comments:

Copyright © 2017 Umoja wa Vijana KKKT Kiluvya