Ushindi Kwenye Mtihani Wa Ufahamu Wa Biblia
Pongezi wa Umoja wa Vijana Usharika wa Kiluvya kwa kuwa washindi katika mitihani yao ya Ufahamu wa biblia katika ngazi ya Jimbo na Dayosis
Picha: Baadhi ya Vijana wakifurahia Ushindi wao, Katika Ngazi ya Jimbo na Dayosisi.
Picha: Baadhi ya Vijana wakifurahia Ushindi wao, Katika Ngazi ya Jimbo na Dayosisi.
Picha :Baadhi ya vijana walioshiriki katika Mitihani ya Ufahamu wa Biblia ngazi ya Jimbo na Dayosisi
Picha:Vijana wakiwa na Mwenyekiti wa Vijana Ngazi ya Dayosisi Bw Anania J Ndondole mwenye tai, Na Mwenyekiti wa Vijana Usharika wa Kiluvvya aliyevaa koti la dark blue Bw Haleluya Ngao
Picha Mkuu wa Jimbo la Magharibi Rev J Mwangomola akifurahi Ushindi wa Vijana KKKT Kiluvya
Picha: Vijana KKKT Kiluvya walipokuwa wakikabidhi kikombe cha Ushindi wa mtihani wa Biblia walichoshinda Ngazi ya Jimbo katika Usharika wetu.









0 comments: